KUDUME CHA DUNIA.

Huyo si mwingine bali ni mzee Ziona Chana mwenye  miaka 67 ambaye pamoja na kuwa na wake 39, watoto 94, wajukuu 33 lakini bado ana mpango wa kuongeza wake wengine zaidi ili kuikuza familia yake.Familia nzima ina watu 181 inaishi kwenye nyumba moja kubwa ya ghorofa nne yenye  vyumba 100 iliyopo katika kijiji cha Baktwang katika jimbo la Mizoram nchini India.

Msosi wa usiku mmoja pekee unapoandaliwa ni sawa na maandalizi ya sherehe fulani kwani jumla ya kuku 39, kilo 60 za viazi na kilo 100 za mchele hutumika ili kuitosheleza familia nzima kwa usiku mmoja tu achilia mbali chakula cha mchana na brekfasti


Mwenyewe ajigamba kuwa mwanaume mwenye bahati kwa kumiliki   wake 39 na kuwa mkuu wa familia kubwa kuliko zote duniani.

       Mjengo wa mzee Ziona ambapo anaishi na familia yake

Hiki ni chumba za wake zake kwani yeye huishi kwenye chumba cha peke yake  ambapo wake zake 39 hupeana zamu za kulala ndani ya chumba hicho na mzee huyo wa kaya.


1 comment:

Anonymous said...

kweli huyo mzee ni noma coz anaishi kama king