Picha hii ya Dr Slaa na mtoto wa marehemu Daud Mwangosi yawaliza wengi..

Mtoto wa marehemu Daud Mwangosi akimkumbatia Katibu mkuu wa CHADEMA Dk Willbroad Slaa jana jioni wakati alipokwenda kutoa pole nyumbani kwa marehemu..Marehemu Mwangosi ameacha mke na watoto wannne.
Kila anaeiona picha hii anaguswa kwa namna yake..na  hizi ni baadhi ya comments zilizotolewa na wasomaji wa blog ya mjengwa.
Mungu ailaze roho ya marehemu mahala pema na aipe nguvu familia yake katika wakati huu mgumu