THIS IS TOO MUCH!!

    Tafiti nyingi zilizokwishafanyika zinaonyesha kuwa kwa kiasi kikubwa nyani na wanyama wengine jamii ya sokwe wanafanana na binadamu sio tu kwa sura(muonekano),mfumo wa uzazi halikadhalika matendo yao kwani mambo yote anayofanya binadamu nao nyani wanauwezo wa kufanya vizuri.  
Hapa ameshika bunduki aina ya AK 47! (www.wavuti.com)
Hapa sijui anafikiria familia yake??!!

   Wataalam wanasema tofauti iliyopo kwamba binadamu ana uwezo mkubwa(IQ) wa kutambua mambo kuliko nyani.Pia tendo aliloweza nyani ni kuzungumza(produce sound speech).