Picha hii imenikumbusha mbali...

Kiukweli hii picha imenikumbusha mengi..kipindi niko primary yaani timekeeper nae alikua na power kama kiongozi(kiranja) mwingine hivyo watu walikua wanaipigania hii nafasi.
Halikadhalika nikiwa secondary...yaani tulikua darasa moja na timekeeper  sio siri tulikua tunamshawishi agonge kengele kabla ya muda wa break ili wadau tukapige uji..!!Sipati picha na vyuoni kungekuwa na timekeeper?!!
Timekeeper kazini
Picha kwa hisani ya mjengwa