60 wafariki na 200 wajeruhiwa mkesha wa 2013 huko Ivory Coast



Zaidi ya watu sitini wamefariki na wengine mia mbili kujeruhiwa katika pwani ya Ivory coast katika sherehe za kuukaribisha mwaka mpya.
Baadhi ya nguo zilizobaki baada ya mkasa huo
Kisa hicho kilitokea kufuatia msongamano wa watu wakati wa sherehe hizo, za kuukaribishwa mwaka mpya wa 2013.

Vyombo vya habari vya taifa hilo vinasema tukio hilo lilitokea mapema alfajiri katika jiji kuu la Abijdan.

Inasemekana kuwa watu hao walikuwa wakishuhudia maonyesho ya fataki katika uwanja wa michezo.

Wengi waliofariki ni watoto kati ya miaka minane hadi kumi na mitano.
Hata hivyo haijulikani kilichosababisha msongamano huo.

Ajali hiyo ilitokea katia uwanja wa michezo wa Felix Houphouet Boign, ambao una ukumbwa wa kuruhusu mashabiuki elfu sitini na tano wa soka na ulipewa jina hilo kama heshima ya rais wa kwanza wa nchi hiyo.


Kabla ya ajali hiyo uwanja huo uliandaa maonyesho ya muziki iliyohudhuriwa na mwana muziki kutoka Marekani Chris Brown.

3 comments:

Anonymous said...

continuously i used to read smaller articles which as well clear their
motive, and that is also happening with this post which I am reading at this time.


Visit my page:
My website -

Anonymous said...

Great article, exactly what I needed.

Here is my page ... health affiliate program
Feel free to surf my blog ;

Anonymous said...

I've been surfing online more than 3 hours nowadays, yet I by no means discovered any fascinating article like yours. It's pretty price enough for me.
In my opinion, if all webmasters and bloggers made good content material as you probably did,
the internet can be a lot more helpful than ever before.

Also visit my blog: google money making
My web-site ;