WANAWAKE HAWA JAMANI!!




Inashangaza kuona wanawake hawa kunyonyesha wanyama.!!

MPAKA KIELEWEKE!!

"Kitafahamika tu!!" Hayo ni maneno ya Binti wa Kijerumani Regina Mayer, ambaye kwa muda mrefu alikuwa na ndoto ya kuendesha farasi lakini haukweza kufanikiwa kwa wazazi wake hawakumwezesha kutimiza ndoto zake. Basi ndipo binti huyo wa miaka 15 alipoamua kumfundisha ng'ombe wake aitwae LUNA kuruka viunzi kama farasi.

MATOKEO KIDATO CHA SITA YAMETOKA.

Matokeo ya kidato cha 6 2011 yametoka,kwa habari zaidi bofya www.necta.go.tz/2011/alevel.htm