MACHAFUKO BAADA YA UCHAGUZI HUKO NIGERIA

Kumetokea machafuko ya kisiasa huko kaskazini mwa Nigeria baada ya kutangwaza matokeo ya uchaguzi uliofanyika Jumamosi, matokeo hayo yameonyesha Bw Goodluck Jonathan amemshinda mpinzani wake Bw Muhammadu Buhari. Vurugu hizo zimepeleka vifo vya watu sita na wengine kukimbia makazi yao. Taarifa zaidi zinaonyesha uwepo wa vifo vingi na hali kuwa mbaya zaidi.Machafuko yameshika kasi sana katika miji ya Kaduna na Kano.
Wananchi wakifanya vurugu huko Nigeria kaskazini

                                                                                       from aljazeera