OSAMA AUWAWA.

 Rais Barrack Obama amethibitisha taarifa za kifo cha Osama Bin Laden,kiongozi wa kundi la Al-Qaeda ambaye ameuliwa katika operesheneni iliyofanywa na majeshi ya Marekani jana jumapili huko Pakistan katika mji wa Abbottabad.Kufutia taarifa hizo Obama amehaidi kuimarisha ulinzi katika Balozi zao kwani ana wasiwasi wa kutokea mashambulizi.
Osama enzi za uhai wake akiwa na viongozi wengine wa Al- Qaeda

Wamarekani wakishangilia taarifa za kifo cha Osama.