WEWE UNGEWEZA HII?


Check jamaa anavyomjali Ngamia wake!!hapa alikuwa anamfanyia medical checkup ya meno(pedicure).Daah sijui kama ingekuwa ni hapa nyumbani TZ kuna mtu angethubutu kufanya hivo?!
Kwa kawaida hapa Tanzania imezoeleka kwa wanyama hawathaminiwi ipasavyo.Kwa mfano pindi wanapoumwa maradhi au kupata tatizo la kuvunjika huwa wanaachwa bila msaada wowote.Kama ni mnyama anaelika basi huwa tunakimbilia kumchinja.

Huyu mwingine kaamua kumpeleka bata wake hospitali!!ingekuwa Kwetu bongo, KISU kingekuwa kinamuhusu bata na siyo hospitali!