Kwa
upande wake mwanahabari mwandamizi,Madam Rose amesema ukiukwaji wa maadili ya
taaluma ya uandishi wa habari huchangiwa kwa kiasi kikubwa na ukosefu mikataba
ya ajira miongoni mwa mwaandishi wa habari. Hivyo kuwafanya waandishi wengi
kudanganyika kwa ‘brown envelope’
maarufu kama “mshiko” kwa kuwa hawana
job
security.
Katika
kuhitimsha mhadhara huo Dean wa shule kuu ya habari ya mawasiliano kwa umma Dr
Herbert Makoye amepongeza jitihada zilizonyeshwa na DARUSO SJMC kwa kuandaa mihandara
yenye lengo la kupanua fikra za wanafunzi .
Ngwegwe Mussa mwenyekiti wa DARUSO SJMC |
Dr Hebert Makoye akimkaribisha mgeni rasmi |
Madam Rose akiwasilisha mada yake. |
Prof Tompson alitoa pia uzoefu wake kutoka nchini Marekani |
Umati uliohudhuria mhadhara huo |
Mzee Mrutu |