The Hill Youth TV Magazine..#guys,keep on moving.

Katika pitapita zangu kwenye mtandao nikakutana na hizi picha..honestly zimenigusa but sijui ni kwanini labda ni kwa sababu ni watu niliona nao karibu au kwa kuwa wapo na Diamond..sijui ni kwaini... nahisi ni mazingira ya SJMC -Mlimani TV ndo yamenishawishi zaidi.. but nnachoweza kusema.... kazi nzuri....keep on moving.
Herieth-host wa The Hill Youth tv Magazine akiwa na Diamond
Mitambo ikiwekwa sawa
Busy kwa kazi
Kazi imekamilika
Teacher Issa full tabasamu..naona dress code ilikua ni black n white
Noticeboard ileeeee!!


A guy fakes his death to make her Girlfriend see how Life would be Empty without Him


In what may very well be the worst wedding proposal in history, a Russian man hired a whole film crew to stage a deadly car crash and see if the woman he wanted to marry really loved him to death. 
Most people already know, or at least think they know the person they want to marry truly loves them, before they pop the big question, but 30-year-old Alexey Bykov, from Omsk, Russia, wanted to make absolutely sure. Instead of taking the easy route, like making his girlfriend Irina take a lie detector test, he decided to fake his own gruesome death to see what her reaction would be. So the young Russian hired a movie director, stuntmen, make-up artists, and even a script writer to stage a car crash in which he lost his life. They made sure everything looked as realistic as possible, by using crashed cars, smoke, ambulances and carnage, so the poor girl didn’t for a minute think she was the victim of a very creepy prank.

Once all the details of his plan were discussed with the film crew, Alexey arranged to meet Irina in a certain place, only when she arrived she found mangled cars and her beloved’s body lying on the road all covered in blood. A paramedic told her he was dead and she immediately broke into tears. Once the “romantic” prankster got the reaction he was waiting for, he got up from the pavement and proposed. You can imagine Irina’s reaction, can’t you? Well, although she admits at first she “almost killed him again, but for real this time”, in the end she accepted to be this crazy man’s wife for the rest of her life.
Asked why he planned such a macabre wedding proposal, Alexey Bykov said: ”I wanted her to realise how empty her life would be without me and how life would have no meaning without me.” Very romantic stuff, I must say. He did promise this was the last time he pulled such a stunt.
courtesy of odditycentral

Picha hii ya Dr Slaa na mtoto wa marehemu Daud Mwangosi yawaliza wengi..

Mtoto wa marehemu Daud Mwangosi akimkumbatia Katibu mkuu wa CHADEMA Dk Willbroad Slaa jana jioni wakati alipokwenda kutoa pole nyumbani kwa marehemu..Marehemu Mwangosi ameacha mke na watoto wannne.
Kila anaeiona picha hii anaguswa kwa namna yake..na  hizi ni baadhi ya comments zilizotolewa na wasomaji wa blog ya mjengwa.
Mungu ailaze roho ya marehemu mahala pema na aipe nguvu familia yake katika wakati huu mgumu

Safari ni safari

Vijana wa Kijiji cha Nkuhi Kata ya Isuna, Mkoa wa Singida, wakisafiri kwa baiskeli huku mmoja wao akiwa amelala katika mwamba, hali hilo inatokana na shida ya usafiri katika eneo hilo. (Picha na Prona Mumwi/MAJIRA)
Picha na wavuti.com

Wale ambao hamjahesabiwa sensa..toa taarifa kwa namba hizi...

-- Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS) imeongeza mbele tarehe za kumaliza kazi ya Sensa ya Watu na Makazi hadi Jumamosi ya tarehe 8 Septemba mwaka huu ili kuhakikisha kuwa kila mwananchi aliyebaki anahesabiwa. Hivyo wito umetolewa kwa mwananchi hawajafikiwa na Makarani wa Sensa watoe taarifa katika Ofisi za Serikali za Mitaa au Ofisi ya Taifa ya Takwimu kwa ajili ya kuhesabiwa. Kamishna wa Sensa kutoka NBS Hajjat Amina Mrisho ametoa  wito kwa wale ambao hawajaandikishwa hadi hivi sasa kuwa wanatakiwa watume taarifa kwa namba 2122724, 0754583415, 2129622 , 0713335429, 0713574622 na 0713312699

Na sisi tumevaa viatu

Wakiwa safi wamependeza na sare zao za shule..Kwa staili hii sidani kama hiyo elimu itakaa kichwani.

pic from mjengwablog