Our time to say Goodbye

    Jana was happy, great and unforgettable day to all Jitegemee form four students because they were saying kwaheri (graduating) kwa walimu na wanafunzi wenzao  walioishi nao kwa miaka minne hapo shuleni kwao.
Baadhi ya wanafuzi wakiwa katika pozi
Mdau Edo (kushoto) ni mmoja wa wahitimu
Wote walikuwa na furaha huku wakionesha  hamu ya kuingia kidato cha tano.

Poziiiiii!!
     Sherehe hiyo ilifanyika shule hapo maeneo ya Kurasini kilwa road,kulikuwa na burudani zilizotolewa na wanafunzi wenyewe na vituko kama kawaida havikukosekana.
Mshikaji akihuzunika kwa kumaliza chakula chake!!
Big aking'ang'ana na kipapatio cha kuku!!
  Wanafunzi wote wamefurahia kuhitimu elimu ya sekondari na wanaomba uzima na nguvu ilikufika tarehe 3 october na waweze kufanya mitihani yao salama. Pia wameshukuru kwa sherehe hiyo kufanyika kabla ya mitihani kwasababu itawasaidia kupunguza stress na hofu ya mtihani.
May GOD BE WITH YOU ALL FORM FOUR STUDENTS & ALL THE BEST KATIKA MITIHANI YENU HAPO TAREHE 3.