VODACOM WASAIDIA GONGO LA MBOTO.

Kampuni ya simu ya VODACOM Tanzania,imetoa msaada kwa wahanga wa mlipuko wa mabomu uliotokea juzi katika eneo la Gongo la Mboto.
        Baadhi ya wafanyakazi wa VODACOM wakishusha msaada wa vyakula
    Bibi Mwamvita Makamba,meneja wa Vodacom Foundation haakuwa nyuma katika kushusha misaada.
Mabosi wa Vodacom wakizindua kampeni maalum ya kutoa msaada kwa njia ya simu.

No comments: