UDSM hali si shwari..

    Wanafunzi wa chuo kikuu Dar es Salaam wakiwa katika maandamano.
       Wote ni wanafunzi wa UDSM wakiwa katika maandamano ya amani kuelekea IKULU ili kuishinikiza serikali kuongeza fedha ya matumizi " BOOM" kutoka 5000 inayotolewa sasa hadi 10000.

No comments: